Akili Cargo Transport

Usafirishaji salama wa mizigo kutoka Dar es Salaam kwenda Ngara

KARIBU AKILI CARGO

ANGALIZO MUHIMU

  1. Mzigo wowote utakaopokelewa na kampuni ukiwa katika hali nzuri, utakuwa chini ya dhamana ya kampuni mpaka kufikishwa Ngara.
  2. Mteja anapaswa kuhakikisha mzigo wake umefungwa vizuri na kwa usalama kabla ya kukabidhiwa kwa kampuni.
  3. Endapo mzigo utapotea au kuharibika ukiwa chini ya dhamana ya kampuni, kampuni itamrejeshea mteja fidia kulingana na thamani ya mzigo iliyotajwa na kuthibitishwa.